moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,147
- 770,254
Hii huwa isumbua sana aisee

Hii huwa isumbua sana aisee

Wenyewe wapo hapa.



🥲🥲🥲
😁😁😁Lazma uzirai![]()
Kituko cha mtandaoni huko Guinea. Wanajeshi wamefanya yao. Alpha Condé - kiongozi wa upinzani aliyeingia kwa mbwembwe akijigamba kuleta mabadiliko. Badala yake ikawa ni utopolo tu akaishia kujiongezea mihula ya uongozi kwa kukiuka katiba...
Viongozi wa Afrika kwa kupenda madaraka dah!
View attachment 1925324
Vijana wamemuweka mtu mzima kati
View attachment 1925325
Huyu Colonel ndiyo katwaa madaraka...
View attachment 1925327View attachment 1925326
Je unaweza kusoma post bila kuchangia ukiwa kifungoni(Banned)??Hawana huo muda aisee. Utajikuta tu unajaribu kulog in unashindwa. Ndo imetoka hiyo![]()
Utakuta wamejaza maduka ya nguo wanajazana kibao kazi kupiga picha na kukaa na videmu wanaona rahaaSio maneno yangu,ila naamini ujumbe umefika.View attachment 1925544
Mkuu Tz yetu walinzi wa mipaka wanaheshima sana kwa wakubwa wao pia wakuu wanawahandle vizuri wasiwageuke alaf vigilante hamnaga kwetu wengi wajanja wa behind the keyboards..
Ukiwa na uoga nawe ndiyo captain wa jahazi tutafika? Kupambana tu head on litakalokuwa na liwe.
Unataka kumaanisha nini aseeNenda JF doctors ukakutane navyokuna mmoja alisema ako na inchi 4. Nyiee eti akichovya ni kama kadumbukiza kwa ndoo anavyofeel.
Ni tatizo lake sio la she wake. BTW bamia ni tamu haswaaa zikiwa kwenye dagaa![]()



Waite tu...tena si ajabu wewe ndo ulinichongea aisee maana si kwa kufurahi kule. Eti SYB kaliwa kichwa kha!![]()





