Na wenyewe waingie mtaani wazisake.Kwa akili kama hizi bado safari ni ndefu!
View attachment 1925366
Asante mkuu. Wengine JF ndo kijiweni tunakuja kuburudika na mambo siyo siriazi kivile. Ile yule mod wa juzi nimemvulia kofia. Niko JF tangu 2014 na hii ya juzi ilikuwa ban yangu ya pili; na kosa lenyewe mpaka sasa silijui. Ban ya kwanza niliipatia kule Jukwaa la Siasa wakati wa uchaguzi 2015 na nikapakimbia mazima yaani. Wakiendelea kupita na hapa kijiweni kwetu kugawa ban itabidi tu kupumzika mazima aisee...Hapana Moderator wa juzi alikuwa mkali, maana alifyeka kila kitu kilichokuwa mbele pamoja na post zote mpaka Jukwaa likabaki na bumbuwazi yaani halikunoga tena
km SHIMBA YA BUYENZE alimshauri member mmoja kuwa picha anazoziweka zinafanana na za mshana mara tukaona BANNED
Tunashukuru km mmerudishwa tunawaachieni usukani wenu Jukwaa lilipoa, sisi wengine Siasa hatuwezi tutalambwa BAN kila siku
Nawasubiri kwa hamu kinyama!Muda siyo mrefu utapata wateja![]()
Hii pisi ya John Legend yaani haina tako hata la kukalia dah!
Tuko pamoja mkuu. Mod yule wa juzi siyo kabisa yaaniMshana na Shimba poleni sana ndugu zangu,nimefurahi kuwaona kundini.
Karibuni sana mtupe burudani.



Hivi huwa kuna kuwa na onyo kama mtu amekosea kabla ya ban?Asante mkuu. Wengine JF ndo kijiweni tunakuja kuburudika na mambo siyo siriazi kivile. Ile yule mod wa juzi nimemvulia kofia. Niko JF tangu 2014 na hii ya juzi ilikuwa ban yangu ya pili; na kosa lenyewe mpaka sasa silijui. Ban ya kwanza niliipatia kule Jukwaa la Siasa wakati wa uchaguzi 2015 na nikapakimbia mazima yaani. Wakiendelea kupita na hapa kijiweni kwetu kugawa ban itabidi tu kupumzika mazima aisee...
Ila wakikosa wanachotarajia wataenda kukushitaki Instagram.Nawasubiri kwa hamu kinyama!


Sina akaunti huko. Watajichamba wenyewe huko mpaka wachoke. Na kama nimeshanyandua, kazi yangu itakuwa imekwishaIla wakikosa wanachotarajia wataenda kukushitaki Instagram.
Watakuchamba mpaka akili ikukae sawa![]()



Hawana huo muda aisee. Utajikuta tu unajaribu kulog in unashindwa. Ndo imetoka hiyo
