Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,129
- 829,026
- Thread starter
- #69,101
Notice board yangu haisomi sijui shida nininiHiyo![]()







Nenda JF doctors ukakutane navyo 😂 kuna mmoja alisema ako na inchi 4. Nyiee eti akichovya ni kama kadumbukiza kwa ndoo anavyofeel.
Usiwaite sasa 🤣
Labda inaonekana kwenye app peke yake. Au ni kwenye hii TECNO yangu pekee...Inaonyesha aina ya simu unayotumia...Notice board yangu haisomi sijui shida ninini
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app



Mambo yenu vijana hayo. At 76 mimi nishamaliza ngwe yangu...na enzi zetu mabikra walikuwa wengi hivyo hata kama mtu ulikuwa na kibamia (ilikuwa nadra) ulipeta tu kwa mpenzi wako kwa sababu bikra hana kilinganishio. Nyakati zimebadilika!Nenda JF doctors ukakutane navyokuna mmoja alisema ako na inchi 4. Nyiee eti akichovya ni kama kadumbukiza kwa ndoo anavyofeel.
Ni tatizo lake sio la she wake. BTW bamia ni tamu haswaaa zikiwa kwenye dagaa![]()
Notice board yangu iko blank siwezi kufanya chochoteLabda inaonekana kwenye app peke yake. Au ni kwenye hii TECNO yangu pekee...Inaonyesha aina ya simu unayotumia...
View attachment 1925860
Kama unatumia App nenda kwenye settings za simu yako halafu fungua apps then app ya Jamii Forums. Fungua storage halafu clear data. Close apps.. Rudi sasa ufungue JF yenyewe na itakulazimu ulogin upya. Sasa panel yako itakuwa populated. Nenda kwenye settings na moja kwa moja kwenye signature. Just turn it off na utakuwa umemaliza kazi.Notice board yangu iko blank siwezi kufanya chochoteView attachment 1925864
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app


NB: Jenga tabia ya kuwa unasafisha cache za apps unazozitumia sana. Makorokocho yakirundikana huko unakuta app inakuwa nzito sana na hata ku-misbehave.
Agiza mtori hapo ulipo lakini hakikisha nyama ziko chiniKama unatumia App nenda kwenye settings za simu yako halafu fungua apps then app ya Jamii Forums. Fungua storage halafu clear data. Close apps.. Rudi sasa ufungue JF yenyewe na itakulazimu ulogin upya. Sasa panel yako itakuwa populated. Nenda kwenye settings na moja kwa moja kwenye signature. Just turn it off na utakuwa umemaliza kazi.
Usisahau kuleta mrejesho!
NB: Jenga tabia ya kuwa unasafisha cache za apps unazozitumia sana. Makorokocho yakirundikana huko unakuta app inakuwa nzito sana na hata ku-misbehave.
Utaratibu wa kusafisha cache ni ule ule kama wa data. Ukifika kwenye storage unachagua cache badala ya data. Na unasafisha cache kama hutaki kulogin upya kwa sababu ukisafisha data unafuta kumbukumbu zote za app.








Ameenda kuangalia ukubwa chumba
