Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
Ndiyo maana nimekwambia hearsay, hii haihusiani na utani wa jadi.Mtateseka sana mwaka huu..Yanga mtateseka mno
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana nimekwambia hearsay, hii haihusiani na utani wa jadi.Mtateseka sana mwaka huu..Yanga mtateseka mno
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Yawezekana, lakini sio tu ufue mpaka ichanike hivyo
Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari



Lijengwe sanamu la mama kila kata hapa nchini. Hii ni amri



Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari![]()














Wazo mujarabu kabisa, wapigwe kipapai.
Kuwaweka JF lockup two great personalities kwenye janvi hili ni jambo lisilofurahisha kabisa.


. Jiangalie mkuu. Yule mods wa juzi akipita mitaa hii utakuja kushangaa unaliwa kichwa (in Depal's voice)
Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari![]()




Yaliyopita si ndwele kaka.. Tusonnge mbele...