Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
Ndiyo maana nimekwambia hearsay, hii haihusiani na utani wa jadi.Mtateseka sana mwaka huu..Yanga mtateseka mno
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana nimekwambia hearsay, hii haihusiani na utani wa jadi.Mtateseka sana mwaka huu..Yanga mtateseka mno
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Yawezekana, lakini sio tu ufue mpaka ichanike hivyo
[emoji16][emoji16]dah kwamba ana UTI sugu
Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari [emoji16][emoji16][emoji16]
Lijengwe sanamu la mama kila kata hapa nchini. Hii ni amri [emoji16][emoji122][emoji122]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16]. Jiangalie mkuu. Yule mods wa juzi akipita mitaa hii utakuja kushangaa unaliwa kichwa (in Depal's voice)[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wazo mujarabu kabisa, wapigwe kipapai.
Kuwaweka JF lockup two great personalities kwenye janvi hili ni jambo lisilofurahisha kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaliyopita si ndwele kaka.. Tusonnge mbele...Hivi tulikosa nini juzi? Na mimi nilipitiwa na ban. Hatuwezi kuwaroga hawa wagawa ban? Niko tayari kuja kilingeni Msata tufanye yetu kama uko tayari [emoji16][emoji16][emoji16]