Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,129
- 829,026
- Thread starter
- #69,081
Sijui aliachika?Hadi comments alipita nazo. Sijui aliachika? Maana sio kwa lile kasiriko
Alijua kuvuruga.


UNACHOKIPATA utakitafutaHuyo wa pili ni shujaa. Hakupenda rais alivyobadilisha katiba na kujiongezea muda wa madaraka. Na wamepindua vizuri hawakumwaga damu; na wameweka wazi kuwa wanataka katiba irudishwe kama ilivyokuwa (mwisho vipindi viwili tu). Hii ya sasa hawaitambui...
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app


Ipi hiyo?Unajua kuwa unaweza kuondoa hii signature kirahisi tu?![]()
Me naona alivurugwa tu. Angekuwa KE ningesema MP mood swings zilimvuruga.