Rasputin
JF-Expert Member
- Mar 13, 2018
- 557
- 692
Hawa watakuwa wana jangwani washatengeneza nongwaHuyu mtu alikuwa anafuaje mpaka itatuke hivyo![]()



Duh pole bossHawana huo muda aisee. Utajikuta tu unajaribu kulog in unashindwa. Ndo imetoka hiyo![]()
Mkuu unataka kuniambia tangu mwaka 2014 hujawahi kulimwa ban? Hamia jukwaa la siasa kwa siku mbili tu na ukashiriki kwenye mihemko ya huko halafu uje ulete mrejesho...
Nashukuru kwa somo
Hapana Moderator wa juzi alikuwa mkali, maana alifyeka kila kitu kilichokuwa mbele pamoja na post zote mpaka Jukwaa likabaki na bumbuwazi yaani halikunoga tena
km SHIMBA YA BUYENZE alimshauri member mmoja kuwa picha anazoziweka zinafanana na za mshana mara tukaona BANNED
Tunashukuru km mmerudishwa tunawaachieni usukani wenu Jukwaa lilipoa, sisi wengine Siasa hatuwezi tutalambwa BAN kila siku



kumbe kichapo kilikuwa kwa wengi! Waswahel wanasema kifo cha wengi harusi...;
Huyu mod angepata urais huyu...Mkuu pole na Kisanga ulichokutana nacho
Nadhani masaa 24, wewe na Mzee SYB mkapotezwa.
Poleni![]()






