Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Bado sisi, bado sisi,bado sisi. Wenzetu West Africa hawapendagi ubwege
Ajabu ni kwamba haisaidiagi cho chote. Wanapinduana. Anayekuja anaiba weee yeye na marafiki zake lakini hali ya mwananchi wa kawaida inabakia pale pale; na hata kufubaa zaidi. Matatizo ya nchi za Kiafrika (na mtu mweusi po pote duniani) ni makubwa zaidi; na hizi heka heka za kisiasa ni dalili hafifu tu za tatizo lenyewe - ubinafsi wa kinyama, ulafi uliopindukia kimo, kutojiamini, kujichukia, kutojua nafasi yake katika ulimwengu huu na mengine mengi.
 
241149422_222281336517004_7607661340619782911_n.jpg
 
Ajabu ni kwamba haisaidiagi cho chote. Wanapinduana. Anayekuja anaiba weee yeye na marafiki zake lakini hali ya mwananchi wa kawaida inabakia pale pale; na hata kufubaa zaidi. Matatizo ya nchi za Kiafrika (na mtu mweusi po pote duniani) ni makubwa zaidi; na hizi heka heka za kisiasa ni dalili hafifu tu za tatizo lenyewe - ubinafsi wa kinyama, ulafi uliopindukia kimo, kutojiamini, kujichukia, kutojua nafasi yake katika ulimwengu huu na mengine mengi.
Inasaidia kiasi at least wanajua kuwa kuna watu wenye guts as opposed na huku kwetu ndiyo maana dharau zimezidi,NEC wanatumia B 460 kuandaa uchaguzi ambao wao wenyewe wanashiririki kuvuruga na na kutujazia Bunge la wacheza baikoko
 
Yaliyopita si ndwele kaka.. Tusonnge mbele...

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
. Jiangalie mkuu. Yule mods wa juzi akipita mitaa hii utakuja kushangaa unaliwa kichwa (in Depal's voice)
Hapana Moderator wa juzi alikuwa mkali, maana alifyeka kila kitu kilichokuwa mbele pamoja na post zote mpaka Jukwaa likabaki na bumbuwazi yaani halikunoga tena
km SHIMBA YA BUYENZE alimshauri member mmoja kuwa picha anazoziweka zinafanana na za mshana mara tukaona BANNED
Tunashukuru km mmerudishwa tunawaachieni usukani wenu Jukwaa lilipoa, sisi wengine Majukwaa ya Siasa, chit chat hatuwezi tutalambwa BAN kila siku
 
Back
Top Bottom