Duh, akwende! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Huyu atakuwa mwanachama wa ule uzi bomba, anapiga mahesabu atalisnapu vipi hilo gwede! 🤣 🤣 🤣
Hasara mara mbili, kudadadeki! 🤣 🤣 🤣 Bora uhai lakini...Baby nikuambie kitu niahidi hautakasirika..
Kitu chenyewe sasa.View attachment 1917977
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndole mbili afazali, kuna wa ngumi dadeq.... Nimeenda! 🏃🏾 🏃🏾 🏃🏾 😂 😂 😂 😂
Hii inanikumbusha kipindi nacheza-cheza pubgHiyo squad ya chini silaha yao maneno,juu vitendo..View attachment 1920544

. Unakuta unapambana na watu wanatumia high end devices halafu wewe unatumia ka cheap phone na bado hujakutana na internet ya airtel yani kila saa inakula kwako!Kunyanduliwa ni haki yake, lakini kuanika akinyanduliwa hiyo siyo haki yake.Wabongo mtasababsha huyu mwanamke ajitoe uhai, kwani nini kikubwa kwenye kunyanduliwa.....
Yeye akiwa na akili aichukulie poa kama alivyofanya Amber Rutty....mpaka mkamkoma, na juzi niliona sehemu huyo Amber Rutty anaalikwa mashuleni kuhutubia wanafunzi.....hehehe


Yanga oyeewhich is for sale hapa mkuu?
