Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

8918f.jpeg
 
Huwa najiwazia akina dada walivyo sweet vile halafu unakuta mtu ndio vile anafanya hiyo michezo huwa namsikitikia sana, ila najisemeaga tu ni bahati mbaya tu ilimtokea akawa hivyo naamini laiti ingewezekana kurudisha siku nyuma ukabadili baadhi ya vitu ulivyokosea kwenye maisha yako basi hawa jamaa wengi wangebadili, kuwa mwanaume kamili ni sifa aiseee.

Huwa siwacheki maana najua inaweza kutokea kwenye familia yoyote ile!
We acha tu...sipati picha familia yake, bothers ndo walikuwa washkaj zangu.Familia ya wafia dini ya kiislam haswa..Yani 100%
 
Na huku kuna Gwajima anatoa dozi kila Jumapili. Huku Madilu anataka kuanzisha tozo kwenye mitandao. Huku popoma mwingine analazimisha eti Masihi alikuwa na mke...Yaani Bongo hakuna kupumua ni kampa kampa unaambiwa...
nahisi ndio maana taifa letu linakwama maana vitimbwi haviishi, sio kwa viongozi wala wananchi wa kawaida!
 
Back
Top Bottom