Kusikiliza stori za uongo kijiweni kunachosha na hasa kama hauna hata hela kunywa soda.Hata akili huchokaaView attachment 1920883
Atleast 16yrs.
















Sen'tano na sen'shirini zimekosekana hapo, ila kwa yeyote aliyetumia senti moja ya kitobo duh! I doubt kama yupo janvini.Achana na hizo.
Mziki wenyewe huu hapa
Mtuwache wahenga, wahenga tulikula maisha na visenti hivi aiseee
Mzee SYB weka nenoView attachment 1919786