Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Eti eeh¡!¡
FB_IMG_16296055226926762.jpg
 

Sasa ulivyonishushua!!! Ukiibukia kwangu nakumwagia maji ya ukoko wa ugali, halafu nakimbia.

Hakuna furushi la kike, ukiona unamuona mwanamke haeleweki basi tazama wanaume wanaomzunguka, iwe kaka,baba,mume,mpenzi,rafiki nk
Hivi mwanamke anakuwaje furushi jamani
Nimekuelewa. Wanawake kwa ubishi dah!
 
Back
Top Bottom