Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,260




Aah we, kwani akili ni za darasani tu?




Wacha tujipooze na maumivu ya kodi mpya kila uchaoView attachment 1903540View attachment 1903542View attachment 1903543View attachment 1903544View attachment 1903545





Nimekuelewa. Wanawake kwa ubishi dah!
Sasa ulivyonishushua!!! Ukiibukia kwangu nakumwagia maji ya ukoko wa ugali, halafu nakimbia.
Hakuna furushi la kike, ukiona unamuona mwanamke haeleweki basi tazama wanaume wanaomzunguka, iwe kaka,baba,mume,mpenzi,rafiki nk
Hivi mwanamke anakuwaje furushi jamani![]()



Wasukuma ni wapishi wazuri (wa dagaa) acha hizo mjukuu
Wasukuma ni wapishi wazuri (wa dagaa) acha hizo mjukuu



kapika msukuma hizo