Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,690
- 182,711
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aah we, kwani akili ni za darasani tu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wacha tujipooze na maumivu ya kodi mpya kila uchaoView attachment 1903540View attachment 1903542View attachment 1903543View attachment 1903544View attachment 1903545
Nimekuelewa. Wanawake kwa ubishi dah! [emoji51][emoji51][emoji51][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ulivyonishushua!!! Ukiibukia kwangu nakumwagia maji ya ukoko wa ugali, halafu nakimbia.
Hakuna furushi la kike, ukiona unamuona mwanamke haeleweki basi tazama wanaume wanaomzunguka, iwe kaka,baba,mume,mpenzi,rafiki nk[emoji12]
Hivi mwanamke anakuwaje furushi jamani[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Wasukuma ni wapishi wazuri (wa dagaa) acha hizo mjukuuBabu yangu anasema,kupika dagaa bila kutoa vichwa[emoji16]hilo ni tatizo kubwa[emoji41]View attachment 1903616
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kapika msukuma hizoWasukuma ni wapishi wazuri (wa dagaa) acha hizo mjukuu