Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1629148483274.jpg
 
Acha wale tu kwa kweli. Kwani wanaondoka nayo?
View attachment 1894900
#KuchapiwaHakuepukiki
#Kuchapiwanisiriyandani
#KitandaHakizaiHaramu
Siyo mapenzi,K ndo haina makombo. Unakuta jitu limepigwa huko mpaka imekua lapulapu lakini kuna fala linakujapiga goti"will you marry me!!",shenzi type.
 
Nata vocha hutumi,

Kama ni mie utakimbia mwenyewe,vocha yang u,Sim u yangu kwa jasho langu, Hi yo nakujibu nikijisikia au nisikujibu kabisa
Wewe ni mchaga???View attachment 1894908
Sina damu ya kichaga hata tone.
Ukinijibu hovyo,kwenda. Kwani mwanamke ni wewe tu?
Mafala ndo wanauliza kwanini hujibu text,sijui kwanini hupokei,na ujinga mwingine mwingi.
Ma hip hop ni call 1 tu,hajapokea imetoka hiyo.
 
Nata vocha hutumi,

Kama ni mie utakimbia mwenyewe,vocha yang u,Sim u yangu kwa jasho langu, Hi yo nakujibu nikijisikia au nisikujibu kabisa
Wewe ni mchaga???View attachment 1894908
Sasa nimtumie mtu vocha ya nini?
Aongee na nani kama mimi nampigia?
Na kama simu ni yake alinunua ni ihudumie mie.

Apambane.
 
Back
Top Bottom