Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno![]()




Nakuaminia Kamanda.Mkuu naomba sana tusipangiane...na kila mtu ashinde mechi zake pulizi![]()





Siyo mapenzi,K ndo haina makombo. Unakuta jitu limepigwa huko mpaka imekua lapulapu lakini kuna fala linakujapiga goti"will you marry me!!",shenzi type.Acha wale tu kwa kweli. Kwani wanaondoka nayo?
View attachment 1894900
#KuchapiwaHakuepukiki
#Kuchapiwanisiriyandani
#KitandaHakizaiHaramu
Sina damu ya kichaga hata tone.Nata vocha hutumi,
Kama ni mie utakimbia mwenyewe,vocha yang u,Sim u yangu kwa jasho langu, Hi yo nakujibu nikijisikia au nisikujibu kabisa
Wewe ni mchaga???View attachment 1894908


na mimi Mungu kanijaalia mwanangu analo,nimezaa na msambaa.....dah.Sasa nimtumie mtu vocha ya nini?Nata vocha hutumi,
Kama ni mie utakimbia mwenyewe,vocha yang u,Sim u yangu kwa jasho langu, Hi yo nakujibu nikijisikia au nisikujibu kabisa
Wewe ni mchaga???View attachment 1894908
View attachment 1893588
Moyo wa chuma sio huu wa nyama