






Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno![]()
Me:Aaaahsante,nitakula siku nyingine
Mwenyeji; sio vizuri,chakula kipo tayari kwaajili yako,karibu ule,karibu banaKula hata kidogo tu
Me; Ahsante,nala.View attachment 1894790
Alikua akimaanisha nini labdaMapenzi na kazi View attachment 1895262
Washushie na ubuyu


Nadhan ni aliyekua boss wake wa zamani itakua anatoka na mfanyakazi wake CEOAlikua akimaanisha nini labda
Anamaanisha SSC ndiyo mpenzi/mke/hawara. Hakutakiwa kuchanganya mahaba yake kwa klabu na kazi, I might be wrong.Alikua akimaanisha nini labda
زنجبار أوبويا، أو من أين؟