Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Arsenal u23 jana...[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Screenshot_20210817-103236-1.jpg
 
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji120][emoji120][emoji120]
Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji16]
 
Me:Aaaahsante,nitakula siku nyingine[emoji854]

Mwenyeji; sio vizuri,chakula kipo tayari kwaajili yako,karibu ule,karibu bana[emoji7]Kula hata kidogo tu[emoji120]

Me; Ahsante,nala.[emoji120][emoji120]View attachment 1894790

Kha! Huwa sitaniwi kwenye chochote kinahusu kula, yaani hapo hapo nanawa mikono na kukaa mkao wa kutia ndani.
 
Back
Top Bottom