moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,144
- 770,239
Lini umeanza kutuchokoza?

Wanyakyusa na Wasukuma ni watani wa Taifa.



Ukimaliza sasa ndo majuto yanaanza hasa kama umefakamia peku peku. Hata plate namba za magari zinaanza kuwa na mauzauza. Mara uone AIDS 47839 mara ARVS 666 ali mradi shida tupuApo ni kumshukuru Mungu kwakwl daah I can't imagine that time mifuraha inazidi mihorny![]()



Duh!!Ondoka,sikutaki tenaView attachment 1894805


....Au ni yale yale ya "Huu msuko wa nywele niliokwenda nao Samaria kweli unafaa kwenda nao Galilaya au nifumue nisuke mwingine?"

Wanyakyusa na Wasukuma ni watani wa Taifa.
Kuwa mpole![]()
Kwani kadanganya?![]()
Kwanza ningejichekesha kidogo,Me:Aaaahsante,nitakula siku nyingine
Mwenyeji; sio vizuri,chakula kipo tayari kwaajili yako,karibu ule,karibu banaKula hata kidogo tu
Me; Ahsante,nala.View attachment 1894790


then niseme"ngoja nitie baraka kidogo"

Sipati picha Msukuma na Mnyakyusa wakioana mf. Mimi na wewe mtumishiUshamba wa hivyo ni wa kisukuma tu










UtakuwajeTuonane baada ya miaka mitano Mungu Akituweka hai. Bye![]()
,usinitishe

Kwanza ningejichekesha kidogo,then niseme"ngoja nitie baraka kidogo"
![]()
