Kama huyu namuitikia politely tu,nikishakata tu,narudisha muamala. Barakoa itakauka fasta.Na mvua inanyeshaView attachment 1894815




Duuh,,,Dogo langu ndo lasoma hapo

Sipati picha Msukuma na Mnyakyusa wakioana mf. Mimi na wewe mtumishi![]()
Ondoka,sikutaki tenaView attachment 1894805
Labda hela yenyewe 5000Kama huyu namuitikia politely tu,nikishakata tu,narudisha muamala. Barakoa itakauka fasta.
na unajishughulisha kuiludisha
,Wapi nimesema wewe mtumishi ni Mnyaki mshamba? Ukinionyesha natuma laki tatu sasa hivi na ushahidi naweka hapa!Hofyoooooooooooo. Mimi sio mnyaki mshamba





Weeee!!!!Labda hela yenyewe 5000na unajishughulisha kuiludisha
,
5,000 we unaiona ni ndogo? Jana umepigwa 5,000 na Voda imekuuma mpaka basi halafu leo unaidogosha kwa vile siyo yako?Labda hela yenyewe 5000na unajishughulisha kuiludisha
,
Ukiwa Jf stress ni kujitakia tuyaani Jf huwezi kufa kwa stress kabisa