Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Bila shaka marehemu alikuwa msukumamsukuma

Bila shaka marehemu alikuwa msukumamsukuma

Yote tisa lakini kumi panya akitumbukia kwenye uji.... Uji unakuwa mtamu sana! Believe it!!Oh no!
That was horrible kwa sababu hata ukisema ujitapishe ni kazi bure.
Tuliosoma boarding enzi zile hakuna ambacho hatukula. Maharage, unga na dagaa waliooza funza wanaelea kabisa mnawaona. Panya wanaotumbukia kwenye uji. Wapishi wanaosonga ugali mijasho na kamasi vinadondokea humo humo kwenye ugali...we survived it all and here we are 76 yrs and counting![]()



















Eti ndo mrembo anatingisha mji pamoja na binti yake!Huyu demu namuonaga ana sura ya kiume










Mhh! Subiri kwanza uolewe tuone Kama utadhubutu kufanya hivyo.Sawa dini inaruhusu ila nimeumbwa hivyo kutokubaliana na hali ya ake Wenza.Ikitokea Mume akacheat ajueau moto utamuhusu
![]()
Mimi ndiye niliwatuma maana ulizidi ujinga.
Na namna sahihi ya kuwaza namna sahihi ya namna ya kupata pesa,ni kwanza kuondoa stress za mapenzi ili pesa ikipatikana nitumie na mpenzi badala ya wapenzi. Nikiwa na mmoja ninayemuwaza baada ya kupata pesa,ni bora zaidi kuliko nikazidaka nikaishia Sudan Temeke.Acha kuwaza mapenzi,waza ufanye vipi hili upate pesa![]()