Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Aisee tulioshuhudia matumizi ya hii kitu tukapate chanjo ndugu zangu,tusimfuate Gwajima

Unamchukua unamnyonya asiondoke na utamu wa mchuzi, unamtupa pembeni unaendelea na kazi.Ngoja nifikirieView attachment 1893843
Halafu mlikuwa mnasemaga,sisimizi ni dawa ya tumboVijijini huko enzi zile tunasoma unaamka asubuhi unakuta eti sisimizi kibao wamejichanganya wameingia kwenye maziwa ya mgando. Unaona wanakupotezea muda bure. Unawavurugiamo kwenye maziwa halafu unawanywa humo humo. Siku nzima unacheua vitamin tu yaani afya kede kede. Mamende siyapendi hasa yale makubwa ila hawawezi kunifanya nikatupa chakula changu - hasa kama ni ugali na nyama. Nevaaa !!!


Daaah!!
Tukapate chanjo muhenga mwenzanguAisee tulioshuhudia matumizi ya hii kitu tukapate chanjo ndugu zangu,tusimfuate Gwajima![]()

Acha kudeka binti, inawezekana tu.Uke wenza waliweza wazee wetu sio sasa![]()
Mi nasema hata akijichanganya apotelee humo humo sawa tu hakuna litakaloharibika. Shwaini zake mende!Liwalo na liwe
Mende anatupwa![]()
Unamchukua unamnyonya asiondoke na utamu wa mchuzi, unamtupa pembeni unaendelea na kazi.



sisimizi nao wapate utamuKwakuwa hujawahi kupendaInakuwaje, ukose usingizi kisa mapenziView attachment 1893851
Unamchukua unamnyonya asiondoke na utamu wa mchuzi, unamtupa pembeni unaendelea na kazi.









Gwajima mjanja. Safari zake za Japan na kule alikoahidi kuwapeleka wanaKawe anakwendaje bila chanjo? Kibwetere mjanja sana huyo!Aisee tulioshuhudia matumizi ya hii kitu tukapate chanjo ndugu zangu,tusimfuate Gwajima![]()
Mi pia, akichanganya changanya namla na yeye pumbafu zakeMi nasema hata akijichanganya apotelee humo humo sawa tu hakuna litakaloharibika. Shwaini zake mende!


Nilipenda,nikatendwa,nilipata tatizo la moyo,nilipukutika mwiliKwakuwa hujawahi kupenda
lakini nilikuwa napata usingizi kama kawaida