Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Njoo PM unambie [emoji16][emoji16]Nitasema tu, why not[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo PM unambie [emoji16][emoji16]Nitasema tu, why not[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa kama sina nakwambia nini kamani[emoji2369][emoji2369]Njoo PM unambie [emoji16][emoji16]
Aisee tulioshuhudia matumizi ya hii kitu tukapate chanjo ndugu zangu,tusimfuate Gwajima [emoji3]Wahenga [emoji2902][emoji2902][emoji2902]View attachment 1893849
Unamchukua unamnyonya asiondoke na utamu wa mchuzi, unamtupa pembeni unaendelea na kazi.Ngoja nifikirie[emoji41]View attachment 1893843
Ameeen[emoji120]Ameen[emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 1893854
Halafu mlikuwa mnasemaga,sisimizi ni dawa ya tumbo[emoji2902][emoji2902]Vijijini huko enzi zile tunasoma unaamka asubuhi unakuta eti sisimizi kibao wamejichanganya wameingia kwenye maziwa ya mgando. Unaona wanakupotezea muda bure. Unawavurugiamo kwenye maziwa halafu unawanywa humo humo. Siku nzima unacheua vitamin tu yaani afya kede kede. Mamende siyapendi hasa yale makubwa ila hawawezi kunifanya nikatupa chakula changu - hasa kama ni ugali na nyama. Nevaaa !!!
Daaah!!Wahenga [emoji2902][emoji2902][emoji2902]View attachment 1893849
Liwalo na liwe[emoji23][emoji23]Ngoja nifikirie[emoji41]View attachment 1893843
Tukapate chanjo muhenga mwenzangu[emoji16]Aisee tulioshuhudia matumizi ya hii kitu tukapate chanjo ndugu zangu,tusimfuate Gwajima [emoji3]
Acha kudeka binti, inawezekana tu.Uke wenza waliweza wazee wetu sio sasa [emoji51][emoji51]
Mi nasema hata akijichanganya apotelee humo humo sawa tu hakuna litakaloharibika. Shwaini zake mende!Liwalo na liwe[emoji23][emoji23]
Mende anatupwa[emoji23][emoji2089][emoji2089]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sisimizi nao wapate utamuUnamchukua unamnyonya asiondoke na utamu wa mchuzi, unamtupa pembeni unaendelea na kazi.
Kwakuwa hujawahi kupendaInakuwaje, ukose usingizi kisa mapenzi[emoji3064]View attachment 1893851
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Unamchukua unamnyonya asiondoke na utamu wa mchuzi, unamtupa pembeni unaendelea na kazi.
Gwajima mjanja. Safari zake za Japan na kule alikoahidi kuwapeleka wanaKawe anakwendaje bila chanjo? Kibwetere mjanja sana huyo!Aisee tulioshuhudia matumizi ya hii kitu tukapate chanjo ndugu zangu,tusimfuate Gwajima [emoji3]
Mi pia, akichanganya changanya namla na yeye pumbafu zake[emoji23][emoji23]Mi nasema hata akijichanganya apotelee humo humo sawa tu hakuna litakaloharibika. Shwaini zake mende!
Nilipenda,nikatendwa,nilipata tatizo la moyo,nilipukutika mwili[emoji16] lakini nilikuwa napata usingizi kama kawaidaKwakuwa hujawahi kupenda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mmmmhMi pia, akichanganya changanya namla na yeye pumbafu zake[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mmmmh