Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

View attachment 1893663
Hayo ndio maamuzi ya biashara
Ni ya kubahatisha. Risk taking ndiyo msingi mkuu. The bigger the risk the bigger the reward (ende vaisi vesa)...Kuna walionunua MySpace ikawafia. Hata Nestscape...Mbali na mfumo bora wa kibiashara kuna element ya bahati na hasa timing...right move at the right time...kama hawa vijana walioanzisha WhatsApp miaka michache tu wakaja kumuuzia Zuckerberg kwa dola bilioni 19. Telegram walichelewa kidogo tu yaani....
 
Na kwanini uolewe mke mwenza ilhali mimi hapa u single unanitesa?
Sijalala mpaka muda huu nawaza mapenzi tu.

Ila sina hela. Ndo nazitafuta. Njoo tuunganishe nguvu.

Nipe namba hata pm tu uwe na mume wako peke yako. I promise,hutojutia.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwaza mapenzi,waza ufanye vipi hili upate pesa
 
Screenshot_20210815-143008_Instagram.jpg
 
Dah we acha tu mkuu sijui itakuwaje nakumbuka niliwahi kumuuliza Mother aliwezaje kuishi akiwa mke Mwenza tena yeye wa kwanza na wenzie wawili alicheka na kunambia we si Mwanamke
Yaani wanaume hawaeleweki,.....anaweza asiongeze mke,lakini huko mitaani kawapanga foleni

Yaani mie bora nisijue machafu yake,maana
 
Back
Top Bottom