Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

View attachment 1893663
Hayo ndio maamuzi ya biashara
Ni ya kubahatisha. Risk taking ndiyo msingi mkuu. The bigger the risk the bigger the reward (ende vaisi vesa)...Kuna walionunua MySpace ikawafia. Hata Nestscape...Mbali na mfumo bora wa kibiashara kuna element ya bahati na hasa timing...right move at the right time...kama hawa vijana walioanzisha WhatsApp miaka michache tu wakaja kumuuzia Zuckerberg kwa dola bilioni 19. Telegram walichelewa kidogo tu yaani....
 
Mimi hata tuishi Nchi tofauti siwezi nina kinyaaa yaani naona kabisa hii mali yangu jana ilikuwa sehemu fulani au leo mwenzangu yupo kifuani huko aiseee siwezi[emoji51][emoji51]
Mpendwa una wivu mkali eeeh! Lakini si dini inaruhusu? Mmeo ikitokea akacheat na ukajua utafanyeje? [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Na kwanini uolewe mke mwenza ilhali mimi hapa u single unanitesa?
Sijalala mpaka muda huu nawaza mapenzi tu.

Ila sina hela. Ndo nazitafuta. Njoo tuunganishe nguvu.

Nipe namba hata pm tu uwe na mume wako peke yako. I promise,hutojutia.....[emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwaza mapenzi,waza ufanye vipi hili upate pesa[emoji16]
 
Screenshot_20210815-143008_Instagram.jpg
 
Dah we acha tu mkuu sijui itakuwaje nakumbuka niliwahi kumuuliza Mother aliwezaje kuishi akiwa mke Mwenza tena yeye wa kwanza na wenzie wawili alicheka na kunambia we si Mwanamke [emoji51][emoji51]
Yaani wanaume hawaeleweki,.....anaweza asiongeze mke,lakini huko mitaani kawapanga foleni[emoji39]

Yaani mie bora nisijue machafu yake,maana[emoji3061]
 
Back
Top Bottom