Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Karibuni sana
Hapana kaka. Hebu nikumbushe.Mr English unaikumbuka hii pisi?![]()
Kajamaa kamemcheat mrembo na wameshaachana na utoto wake.Huwa nawawaza hawa ule mchezo wanafanyajena jamaa alivyo kama mtoto
Tayari nshapata msosi na nshajisopu sopu. Ai emu rede!
Unashabikia timu gani?
View attachment 1893266View attachment 1893267





Nimeamini wanawake wanaweza kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja(multtaskers).
Huyu ndie mwanamke wa shoka
Hiyo ndiyo tiba ya presha na magonjwa mengineyo. Akija kufika home mzee yuko safiwazee wetuView attachment 1893415
Hata kisayansi wanaume hatuwezi multitasking...Wanawake utamkuta ana activities hata 4 kwa mpigo na zote zinaenda!Nimeamini wanawake wanaweza kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja(multtaskers).
Wangekuwa wanatumia kwa faida kama huyu wangekuwa mbali.
Ila hawa wasomi unakuta simu moja iko sikioni,nyingine mkononi anaperuzi halafu mkono mwingine ana rimoti anabadili channel kwenye tv au anakula chips
Mimi kuongea tu na simu kwa ile staili ya kuibana sikioni na begani huku mikono ikiwa bize huwa nashidwa hata nikijitahidi sio kwa mda mrefu
Kweli, ukikuta mambo anayofanya hapo jikoni kwa mpigo utashangaaHata kisayansi wanaume hatuwezi multitasking...Wanawake utamkuta ana activities hata 4 kwa mpigo na zote zinaenda!
Kajamaa kamemcheat mrembo na wameshaachana na utoto wake.
hahahaHiyo ndiyo tiba ya presha na magonjwa mengineyo. Akija kufika home mzee yuko safi
Zinauzwa 1000Hiz bia zipo hata hapa Tz?View attachment 1884199
Mzee anaangalia uumbajiwazee wetuView attachment 1893415