Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ni ya kubahatisha. Risk taking ndiyo msingi mkuu. The bigger the risk the bigger the reward (ende vaisi vesa)...Kuna walionunua MySpace ikawafia. Hata Nestscape...Mbali na mfumo bora wa kibiashara kuna element ya bahati na hasa timing...right moment at the right time...kama hawa vijana walioanzisha WhatsApp miaka michache tu wakaja kumuuzia Zuckerberg kwa dola bilioni 19. Telegram walichelewa kidogo tu yaani....

Kweli mkuu ilikuwa Right time na pia walilenga palepale
Na kuna wengi wamefeli
Biashara ni bahati tu sio ujanja
Ikikubali imekubali
 
Ngoja nifikirie
FB_IMG_16286003421918975.jpg
 
Duuuh!! Nimecheka wallah
Vijijini huko enzi zile tunasoma unaamka asubuhi unakuta eti sisimizi kibao wamejichanganya wameingia kwenye maziwa ya mgando. Unaona wanakupotezea muda bure. Unawavurugiamo kwenye maziwa halafu unawanywa humo humo. Siku nzima unacheua vitamin tu yaani afya kede kede. Mamende siyapendi hasa yale makubwa ila hawawezi kunifanya nikatupa chakula changu - hasa kama ni ugali na nyama. Nevaaa !!!
 
Back
Top Bottom