Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Mkuu umebadili avatar kidogo nikusahau. Kitambo sana imekuwa. Natumaini kila kitu kiko salama [emoji1545][emoji1545]#uziwetu
Huko kwenye ukamanda sipo kabisa, huwa nina support ninapoamini ni haki na kweli.Makamanda na matusi ni kama chanda na pete [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Huko kwenye ukamanda sipo kabisa, huwa nina support ninapoamini ni haki na kweli.
Usije siku ukaniona na maoni ya mrengo tofauti ukadhani 'nimeslimu'.
My big head can't be brainwashed.[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Nikimvunja na uti wa mgongo shilingi ngapi? [emoji2099][emoji2099][emoji2099]