Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20210812-150805_Instagram.jpg
 
Aina hii ya utapeli wanagonga sana wake za watu, mwamke akienda akasema mmewe ana mchepuko au mwingine ile ya ooh wanaume hawatulii naye eti hugonga na kusepa au aende eti anataka mtu akichovya apagawe hao wote huliwa.
Tiba 'profesa/dokta/mganga' anamwambia amtie dawa, yaani aipake dhakari yake dawa halafu amuingizie then anamwambie azitunze shahawa kwa masaa atakayompangia. 'Dozi' inaweza kuwa ya wiki, mwezi au hata miezi kadhaa. Mganga anaipanga dozi kulingana na 'ukali' wa demu mwenyewe au hata 'ladha' husababisha kupunguzwa au kuongezwa kwa dozi.
Yaani wanaliwa bure, bila kinga na wanalipia.
Waganga habari nyingine
una experience navyo maan ulivyoexplain
 
Back
Top Bottom