😀😀😀Na maanisha ajachagua vizuri mchele
Wakati unapitia kipindi laini ulituambia?
Nisamehe kaka kwahiloNimemtongoza nimemuuliza? Mtu atongozwe hadharani kiasi hicho! Astaghfirullah!! Rekebisha kauli yako chief, usiniwazie mabaya!
Aina hii ya utapeli wanagonga sana wake za watu, mwamke akienda akasema mmewe ana mchepuko au mwingine ile ya ooh wanaume hawatulii naye eti hugonga na kusepa au aende eti anataka mtu akichovya apagawe hao wote huliwa.
Tiba 'profesa/dokta/mganga' anamwambia amtie dawa, yaani aipake dhakari yake dawa halafu amuingizie then anamwambie azitunze shahawa kwa masaa atakayompangia. 'Dozi' inaweza kuwa ya wiki, mwezi au hata miezi kadhaa. Mganga anaipanga dozi kulingana na 'ukali' wa demu mwenyewe au hata 'ladha' husababisha kupunguzwa au kuongezwa kwa dozi.
Yaani wanaliwa bure, bila kinga na wanalipia.
Waganga habari nyingine![]()


una experience navyo maan ulivyoexplainDah nimekumbuka sana


nyie mpo meza moja na masponsor tafadhali my zetu msiwavuruge sana watatusahauLabda anatutapeli tu kuchangamsha baraza.Full pic yake ya ushahid![]()
Viwandani apo watu wanapambania sec tu kwa Messi


Masponsor nyieDuh!!!kuna kazi tamu jamani ndo maana kina Mshana hawaachi kazi ya mizimu ina raha bwana sasa katoto km hako una kaachaje bila kukapelekea moto
![]()



Kuna kiongozi huko ashasema akina baba tuache kunyonya maziwa ya wake zetu kwa ajili ya watoto


Ya wattKuna kiongozi huko ashasema akina baba tuache kunyonya maziwa ya wake zetu kwa ajili ya watoto![]()


