Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Pale unatafuta mtoto wa uzeeni baada ya kustaafu na mtoto mbichi,wakati yeye anakuona ATM tu
cb59ed09be4942a4b0863f5d2311add9.jpg
 
PK akili kubwa, usimlinganishe na mataahira wasio na strategies za kuinyanyua nchi na hawana hata idea waanzie wapi.
Ile Rwanda baada ya civil war Watutsi na Wahutu ilikuwa hovyo hovyo sana, lakini sasa hivi wapo vizuri at least na wanazidi kusonga mbele kwa spidi kali.
Ila Rwanda ni ndogo kuliko Tanzania ila ni kwl Wana kiongozi mwenye akili
 
Back
Top Bottom