Lugha ya malkia.Have you did that before ?
Oooh ! Nimechapia 😱😱😱Lugha ya malkia.
Chief SHIMBA YA BUYENZE unaniadhirisha chief, yaani unanivua nguo kweli mchana kweupe!!Angalau kwa juu juu...baada ya kusalimiana......
E: Una mume?
R: Nina ndoa yenye furaha
E: Nilifikiri jimbo liko wazi
R:Jimbo lilishafungwa tangu muda mrefu sana mpendwa....
Hamfai kabisa
View attachment 1888857View attachment 1888858View attachment 1888859View attachment 1888860View attachment 1888861View attachment 1888862View attachment 1888863





















Nitumie na mimi please!!Nenda pm,
Nimekutumia misambwanda kama yote![]()

Nitakutumia hapa hapa ondoa shakaNitumie na mimi please!!![]()
Babu yako namsomea Halbadiri awe anaona vimodo tu, asione tena misambwanda!!Babu wewe ni noma![]()






Amenishinda tabia kwa kweliChief SHIMBA YA BUYENZE unaniadhirisha chief, yaani unanivua nguo kweli mchana kweupe!!
Nakwenda kusomea Halbadiri!!
rukia16 unamuona SHIMBA YA BUYENZE alichotufanyia?
Tutumie PM tu!!
![]()


...namgawa kwa mkopoHuyu babu yako kila akizeeka iko siku atakuwa mchawi huyu!unajua nacheka hapa wallah,,,ulivyopambana na kiarabu
Babu hashindwi![]()















Mchawi huyu! Ila somehow amejitahidi kwa kutumia google japo haitafsiri perfect!
Salamu na utangulizi tu mzee umehangaika kufatilia utadhani unaangalia kombe la dunia!Baharia anapambana laivu. Safari nyingine watakwenda PM![]()















Mchawi huyu! Ila somehow amejitahidi kwa kutumia google japo haitafsiri paerfect!


hakika yaaniDuh!!!


kuna kazi tamu jamani ndo maana kina Mshana hawaachi kazi ya mizimu ina raha bwana sasa katoto km hako una kaachaje bila kukapelekea moto

