Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

b66eb1ba25054d148725ba14a83bcdac.jpg
 
Angalau kwa juu juu...baada ya kusalimiana...[emoji16][emoji16][emoji16]...

E: Una mume?
R: Nina ndoa yenye furaha
E: Nilifikiri jimbo liko wazi
R:Jimbo lilishafungwa tangu muda mrefu sana mpendwa....


Hamfai kabisa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1888857View attachment 1888858View attachment 1888859View attachment 1888860View attachment 1888861View attachment 1888862View attachment 1888863
Chief SHIMBA YA BUYENZE unaniadhirisha chief, yaani unanivua nguo kweli mchana kweupe!! [emoji24][emoji24][emoji24]
Nakwenda kusomea Halbadiri!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]

rukia16 unamuona SHIMBA YA BUYENZE alichotufanyia?
Tutumie PM tu!!
[emoji2365][emoji2365][emoji2365]
 
Chief SHIMBA YA BUYENZE unaniadhirisha chief, yaani unanivua nguo kweli mchana kweupe!! [emoji24][emoji24][emoji24]
Nakwenda kusomea Halbadiri!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]

rukia16 unamuona SHIMBA YA BUYENZE alichotufanyia?
Tutumie PM tu!!
[emoji2365][emoji2365][emoji2365]
Amenishinda tabia kwa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...namgawa kwa mkopo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unajua nacheka hapa wallah,,,ulivyopambana na kiarabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Babu hashindwi[emoji16]
Huyu babu yako kila akizeeka iko siku atakuwa mchawi huyu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Baharia anapambana laivu. Safari nyingine watakwenda PM [emoji16]
Salamu na utangulizi tu mzee umehangaika kufatilia utadhani unaangalia kombe la dunia! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom