Usiniambie!!Nitakutumia hapa hapa ondoa shaka
Njoo PM ASAP! Achana na babu yako nitamnunulia kopo la ugoro!!Amenishinda tabia kwa kweli...namgawa kwa mkopo















Sasa mbona alikwambia kuwa yupo kwenye ndoa na inaendelea vizuri, salamu gani hiyo mkuu ulimwambia?!Chief, nilikuwa nasalimia kilugha tu!![]()


We hujawahi kuingia benki ndani ukamsalimia teller na kumuuliza kama jimbo liko wazi? Mimi nishawahiSasa mbona alikwambia kuwa yupo kwenye ndoa na inaendelea vizuri, salamu gani hiyo mkuu ulimwambia?!![]()















Nimemtongoza nimemuuliza? Mtu atongozwe hadharani kiasi hicho! Astaghfirullah!! Rekebisha kauli yako chief, usiniwazie mabaya!Jamaa alikua anatongoza sema Dada rukia16 amesema kaolewa na ndoa yake mzuri tu
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisiWe hujawahi kuingia benki ndani ukamsalimia teller na kumuuliza kama jimbo liko wazi? Mimi nishawahi
Kwani kumsalimia mdada mzuri na kujua kama Jimbo liko wazi ni kosa!?![]()

Mbona kuna watu wanaulizana tena kwa kiswahili, wengine kilugha tena wazi wazi!Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi![]()
Sasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi![]()



Kwa hiyo mkuu@Taavid SHIMBA YA BUYENZE kakuokoa sana na tafsiri yake toka gugoSasa mkuu ndio muuambiane kwa kilugha, niliingiwa na mashaka tu nikasema kuna mtu hapa analeta ufisi![]()


Mbona kuna watu wanaulizana tena kwa kiswahili, wengine kilugha tena wazi wazi!

just joking mkuuShukrani za dhati ziende kwa mkuu Shimba kwa kutukamatia kijana wetu alietaka kuharibu mambo


Huyu babu yako kila akizeeka iko siku atakuwa mchawi huyu!![]()




babu yangu,hawezi kuwa mchawi
