Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084


ila watu wana utani na Mungu kwa hiyo ameonana na Mungu ama


Mmoja wa wanamuziki nawakubali sana kwenye tungo na uimbaji wao.Kwa Celine; vimbaumbau wote wa humu mkasome
View attachment 1889848

Mjadala kwisha. Mtako ndo kila kitu. Eti nioe kimbaumbau kimepigwa pasi kisa tulihangaika nacho wakati wa kutafuta. We ulisikia wapi?