Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,698
Tupeane moyo wanaume"akikutania watoto sio wako" kariri hili kama sala"kitanda hakizai haramu" Mungu ni mwema- Amen.
-Power Jafari Vullu Mroma. DsmPower who?
Long time.....
1. Mabula
2. Mwanakuria
3. Iranda
Which is which?![]()
-Power Jafari Vullu Mroma. Dsm
-Power Chaka. Ruvuma
- Power Magali. Morogoro.
Si unajua enzi za kishule shule tena.Ni kweli kasema hivi Mwamedi mzee wa kususa?Janja janjaView attachment 1888579
KanjibaiJanja janjaView attachment 1888579

Viatu vya mabishoo hivyo mkuu. Tena anazo pair mbili kabisa, je hana pair ambayo kiatu kimoja unakuta upande mmoja mweusi mwingine mweupe, na kiatu kingine kinakuwa hvohvo?
Yeye pair moja ni nyeupe kabisa na pair nyingine ni black kabisa,kama ni mchina au original hapo ndio sijuiWatasema hakuwa popular or rather unpopular kama alivyo sasa kwa hiyo hata kama alibwabwaja hayakupewa media/social media attention.Mbona alipoachana na mkewe wa kwanza hatukusikia chochote
Hapo hamna husband materialYeye pair moja ni nyeupe kabisa na pair nyingine ni black kabisa,kama ni mchina au original hapo ndio sijui
