Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,720
Tupeane moyo wanaume"akikutania watoto sio wako" kariri hili kama sala"kitanda hakizai haramu" Mungu ni mwema- Amen.
-Power Jafari Vullu Mroma. DsmPower who?
Long time.....
1. Mabula
2. Mwanakuria
3. Iranda
Which is which? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
[emoji1474] Si unajua enzi za kishule shule tena.-Power Jafari Vullu Mroma. Dsm
-Power Chaka. Ruvuma
- Power Magali. Morogoro.
Ni kweli kasema hivi Mwamedi mzee wa kususa?Janja janjaView attachment 1888579
Kanjibai[emoji1787]Janja janjaView attachment 1888579
[emoji28]Yeye pair moja ni nyeupe kabisa na pair nyingine ni black kabisa,kama ni mchina au original hapo ndio sijuiViatu vya mabishoo hivyo mkuu [emoji16][emoji16]. Tena anazo pair mbili kabisa, je hana pair ambayo kiatu kimoja unakuta upande mmoja mweusi mwingine mweupe, na kiatu kingine kinakuwa hvohvo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]
Watasema hakuwa popular or rather unpopular kama alivyo sasa kwa hiyo hata kama alibwabwaja hayakupewa media/social media attention.Mbona alipoachana na mkewe wa kwanza hatukusikia chochote
Hapo hamna husband material[emoji16][emoji28]Yeye pair moja ni nyeupe kabisa na pair nyingine ni black kabisa,kama ni mchina au original hapo ndio sijui