Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mimi demu akinizingua huwa nakumbuka kasoro yake alafu najisemea moyoni "demu mwenyewe ana kovu" aende zake.....inasaidia kupunguza machunguView attachment 1887853
Hii mbinu inasaidia sana aisee. Na mimi huwa naitumia "Demu mwenyewe hata tako siyo kubwa kivile" wakati huku moyoni tumaumivu tupo twa kishikaji
 
IMG-20210811-WA0010.jpg
 
Nchi yangu TANZANIA.
Hivi inawezekana kabisa hawa Jamaa kutufanya sisi wote wajinga?!
Hili gazeti ni mali ya nani,kabla ya kuchapa huwa hawahariri habari zao?!

Wazee wa kutengeneza tatizo na kulitatua,kuna jambo linafichwa hapa.

Drama tuwaachie wasanii, please
Mimi nimesema kuwa huu ni mtego. Magazeti mengine yakae chonjo. Kakosa kadogo tu wanafungiwa. Hii ni precedent inawekwa. Hata umma utakuwa hauna huruma kivile kwa sababu itaonekana kuwa ni fair play...kwamba hata la kwao wanafungia na hawabagui.

Ukiangalia hiyo habari kwa ndani kuna typo kibao utafikiri gazeti halina mhariri. Eti Rais Samia SuluhuHassa
 
Usijali mkuu nilikuwa namsalimia tu!
Wewe huyu ni wa kusalimia tu wewe!?
Ni kweli eti Ostaadh alikuwa anakusalimia tu? Usidanganye please
Muamini alikua ananisalimia tu
Angalau kwa juu juu...baada ya kusalimiana......

E: Una mume?
R: Nina ndoa yenye furaha
E: Nilifikiri jimbo liko wazi
R:Jimbo lilishafungwa tangu muda mrefu sana mpendwa....


Hamfai kabisa
Screenshot_20210811-145559_Google.jpg
Screenshot_20210811-145525_Google.jpg
Screenshot_20210811-145416_Google.jpg
Screenshot_20210811-145346_Google.jpg
Screenshot_20210811-145223_Google.jpg
Screenshot_20210811-145141_Google.jpg
Screenshot_20210811-145100_Google.jpg
 
Mimi nimesema kuwa huu ni mtego. Magazeti mengine yakae chonjo. Kakosa kadogo tu wanafungiwa. Hii ni precedent inawekwa. Hata umma utakuwa hauna huruma kivile kwa sababu itaonekana kuwa ni fair play...kwamba hata la kwao wanafungia na hawabagui.

Ukiangalia hiyo habari kwa ndani kuna typo kibao utafikiri gazeti halina mhariri. Eti Rais Samia SuluhuHassa
Wanatuona sisi ni vilaza hatuwezi kutafakari mambo,lakini kile naamini kila jambo lina mwisho wake.
Wasishangae wakamaliza vibaya kuliko matarajio yao.
 
Back
Top Bottom