Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Hii mbinu inasaidia sana aisee. Na mimi huwa naitumia "Demu mwenyewe hata tako siyo kubwa kivile" wakati huku moyoni tumaumivu tupo twa kishikajiMimi demu akinizingua huwa nakumbuka kasoro yake alafu najisemea moyoni "demu mwenyewe ana kovu" aende zake.....inasaidia kupunguza machunguView attachment 1887853











