


Chezea video ya utupu weyeNikutumie vochaView attachment 1866625

Huyo tapeli atakuwa mshabiki wa Simba

Yaani mie nimeamka hivi

Huh ujinga siachi

Acheni kona konaView attachment 1866963
kona zote.Umenikumbusha mbali sana mjukuu. Enzi zetu ukiwa umeulamba hivi halafu uwe na baisikeli ya Phoenix uliyoinunua baada ya kuuza pamba nakwambia demu hachomoi. Hata yule aliyekula sh. kumi yangu nilikuwa nimeulamba hivi hivi. Yaani mpaka leo sijui nilikwama wapi yaani dah!Napenda kutuma salamu kwa babu yangu,anaitwa mzee simba.
Salamu imfikie popote pale alipo,,,,,napenda kumwambia Kuwa nimemkumbuka sana,
Aje atutengenezee juisi ya ulezi kuchanganya na parachichi
View attachment 1866591
Zilikuwa Sato. Bahari ya Galilaya haina sangara!Itakuwa San ga......,babu anajua.View attachment 1866643