Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
😬😬😬
Akili kubwa hiiNchi ya matukio hii. Moto wa miamala ulipamba moto...watu wakaambiwa waende Burundi...mama akatoa maagizo wizara husika sijui zifanyeje...mara paap Mbowe ndani kwa ugaidi. Twitter na mitandao yote inamwongelea Mbowe. Miamala naona ndo imetoka hiyo. Mbowe ataachiwa na hakuna atakayekumbuka miamala tena hasa kama katukio kengine katafuatia. Bongo !!!
View attachment 1865395View attachment 1865396View attachment 1865397View attachment 1865398
Weupe wa vikopo huo kamandaUwongo. Mbona huyu ni mweupe na ni Mnyaki pyua 100%?
View attachment 1865300
View attachment 1865301

Teh teh teh


Mikwara tu hiyoKifo nje nje wazee wanguView attachment 1866701


