Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

😬😬😬
Screenshot_20210724_041453.jpg
 
Nchi ya matukio hii. Moto wa miamala ulipamba moto...watu wakaambiwa waende Burundi...mama akatoa maagizo wizara husika sijui zifanyeje...mara paap Mbowe ndani kwa ugaidi. Twitter na mitandao yote inamwongelea Mbowe. Miamala naona ndo imetoka hiyo. Mbowe ataachiwa na hakuna atakayekumbuka miamala tena hasa kama katukio kengine katafuatia. Bongo !!!
View attachment 1865395View attachment 1865396View attachment 1865397View attachment 1865398
Akili kubwa hii
 
Back
Top Bottom