Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Ndiyo Mtumishi[emoji38][emoji38][emoji38]
Hiyo njemba hapo ni she?
Hiyo njemba hapo ni she?
Huyo Mnyaki tayari keshabebwa na Msukuma. Hawa hawapindui kwetu. Ila kipengere, wanajua kupika 'ugali'?It seems you love them tall dark Sukuma boys mtumishi...say the truth [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Lete habari kamili mkuu. Najua ni Mrs. ila nilikuwa sijui kama kaolewa na Msukuma. Huwa anataniana sana na Wasukuma eti washamba na nitashangaa mno kama hubby wake ni Msukuma [emoji16][emoji16][emoji16]Huyo Mnyaki tayari keshabebwa na Msukuma. Hawa hawapindui kwetu. Ila kipengere, wanajua kupika 'ugali'?
Happened to me today [emoji1787][emoji1787]...nawaza nimwage wino kwenye ule uzi wetu pendwa wa @rickboy
Nilikuwa sijatizama vizuri,nishaiona.Kina kitu nimefananisha hapo[emoji23]
na mimi nitapata?Msisukumane, wote mtapata ....[emoji2957]
Ule Uzi wako wa romantic photos vp,hatuoni updates??
Hahahahahah.[emoji16]
View attachment 1856267
na mimi nitapata?
Nimesema siku nikizinyaka naona nitamlipia tu kwa sababu wakiendelea hivyo kuna hatari yangu kupoteza marafiki wote wawili [emoji16]Hata ukiwa na hela nzuri, still hela uliyomkopesha mtu inauma sana. Wakati mwingine unasitisha kufanya jambo lako, unampe mtu atatue changamoto yake; afu yeye anakuja kukuzingua. Hela huipati na mahusiano yanakufa.
Mwambie alipe deni lake, asijipoteze ufahamu