Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

......

IMG_20210716_215245.png
 
Hata ukiwa na hela nzuri, still hela uliyomkopesha mtu inauma sana. Wakati mwingine unasitisha kufanya jambo lako, unampe mtu atatue changamoto yake; afu yeye anakuja kukuzingua. Hela huipati na mahusiano yanakufa.

Mwambie alipe deni lake, asijipoteze ufahamu
Nimesema siku nikizinyaka naona nitamlipia tu kwa sababu wakiendelea hivyo kuna hatari yangu kupoteza marafiki wote wawili
 
Back
Top Bottom