Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Huyo Mnyaki tayari keshabebwa na Msukuma. Hawa hawapindui kwetu. Ila kipengere, wanajua kupika 'ugali'?It seems you love them tall dark Sukuma boys mtumishi...say the truth![]()
Lete habari kamili mkuu. Najua ni Mrs. ila nilikuwa sijui kama kaolewa na Msukuma. Huwa anataniana sana na Wasukuma eti washamba na nitashangaa mno kama hubby wake ni MsukumaHuyo Mnyaki tayari keshabebwa na Msukuma. Hawa hawapindui kwetu. Ila kipengere, wanajua kupika 'ugali'?



Happened to me today

...nawaza nimwage wino kwenye ule uzi wetu pendwa wa @rickboyNilikuwa sijatizama vizuri,nishaiona.Kina kitu nimefananisha hapo![]()
na mimi nitapata?Msisukumane, wote mtapata ....![]()
Ule Uzi wako wa romantic photos vp,hatuoni updates??
na mimi nitapata?
Nimesema siku nikizinyaka naona nitamlipia tu kwa sababu wakiendelea hivyo kuna hatari yangu kupoteza marafiki wote wawiliHata ukiwa na hela nzuri, still hela uliyomkopesha mtu inauma sana. Wakati mwingine unasitisha kufanya jambo lako, unampe mtu atatue changamoto yake; afu yeye anakuja kukuzingua. Hela huipati na mahusiano yanakufa.
Mwambie alipe deni lake, asijipoteze ufahamu
