moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Hiyo ni miguu ya binadamu.acha uchoyo n...nambie kazi yake.
Wakazi wa vijijini wakati wa baridi kali kama la sasa miili yao huwa hivyo.
Pole wa kishua
Hiyo ni miguu ya binadamu.acha uchoyo n...nambie kazi yake.
siwezi kusukumana, nitapanga foleni taratibu ikihitajikaSure, usisukumane tuu...!
Kumbe unakula samaki wa mchangani!!?Nikukaribishe wewe![]()

Kajiripue mkuu tuje kusomaHappened to me today...nawaza nimwage wino kwenye ule uzi wetu pendwa wa @rickboy
Ulifananisha na kitu gani?Kina kitu nimefananisha hapo![]()
Kijijini kwetu hatupo na miguu ya hivyoHiyo ni miguu ya binadamu.
Wakazi wa vijijini wakati wa baridi kali kama la sasa miili yao huwa hivyo.
Pole wa kishuaView attachment 1856375

siwezi kusukumana, nitapanga foleni taratibu ikihitajika
Nakukubali sana Mtumishi. Kama kweli umeolewa na Msukuma basi mhongereshe huyo ngosha kwa kujipatia mke mwema ajabu. Mpendane na maisha yenu yakajae upendo huku mkichukuliana na kuvumiliana. BagoshaAah huyu msukuma wangu alijua kunilaghai tu vizuri, sikumpendea urefu wake hata.





Watamu sana. Ukija kuwaonja huwezi kuacha. Yaani kuku utaona utopolo tuunakulaga??






Watamu sana. Ukija kuwaonja huwezi kuacha. Yaani kuku utaona utopolo tu![]()





mnyamaEndelea kuwika badoa hajaamka.
Asante mkuu.Mara ya kwanza simu zilianza zikiwa na kampuni ya mobitel mwaka1998. Nakumbuka ofisini kwangu nilienda kufundishwa jinsi ya kutumia hiyo simu. Mobitel ilianza na tv ya DTV Mwaka 1992 au 93. Mimi nilinunua TV mwaka 1994 ila wale waliokuwa wanatoka mtoni walikuwa wanaangalia video siyo tv. Radio tulikuwa na Radio TZ kiswahili na kiingereza na mtangazaji wa english channel alikuwa anaitwa Eda Sanga .
Kisa nini, we gonga nguo zako unazopenda.