Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,899
- 136,564
Kisa nini, we gonga nguo zako unazopenda.
Labda kama huyo mpuuzi mwenzio mlikutania kanisani





Kisa nini, we gonga nguo zako unazopenda.
Labda kama huyo mpuuzi mwenzio mlikutania kanisani





Hapo hujapata mamamkwe
Labda.Kijijini kwetu hatupo na miguu ya hivyo![]()
Hapo hujapata mamamkwe
na makorona kiguu na njiaWatamu sana. Ukija kuwaonja huwezi kuacha. Yaani kuku utaona utopolo tu![]()


Acha kuwaingiza watu mkengeHalafu uje hapa useme,hadi nikala samaki mchanga lakini wapiLabda nile kwa ajili yako.

Aiseee, watu wameyasaka madaraka tangu kitamboHuyo wa kulia huyo Mungu Anamuona na ma miamala yake !!!
View attachment 1856383
النقال الجديد؟Imeisha hiyoView attachment 1854412
Hahahaha,Halafu uje hapa useme,hadi nikala samaki mchanga lakini wapi![]()






Hahahaha,
Ndo mlivyo nyie.
Utanifundisha kula hao wadudu kabla hata tunda halijaliwa![]()



lazima uwale hao wadudu kama asili yetu
Huyo Mnyaki tayari keshabebwa na Msukuma. Hawa hawapindui kwetu. Ila kipengere, wanajua kupika 'ugali'?
Lete habari kamili mkuu. Najua ni Mrs. ila nilikuwa sijui kama kaolewa na Msukuma. Huwa anataniana sana na Wasukuma eti washamba na nitashangaa mno kama hubby wake ni Msukuma![]()

. It shall always be well with you too Mtumishi; upende na kupendwa
Nakukubali sana Mtumishi. Kama kweli umeolewa na Msukuma basi mhongereshe huyo ngosha kwa kujipatia mke mwema ajabu. Mpendane na maisha yenu yakajae upendo huku mkichukuliana na kuvumiliana. Bagosha![]()
Ule Uzi wako wa romantic photos vp,hatuoni updates??