Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Unaongea selfie wakati hata tv hakuna isipokuwa karume aliwawekea tv wale waliojengewa ma flast basi.
Pale makoroboi Mwanza kulikuwa na duka lina Tv ya kununua, tukipita wakati huo tumeruhusiwa kuja mjini tunaliangalia hatukujua picha inatokaje.
Aiseee kumbe, kwani hizi simu zilianza mwaka gani?
Nilidhani wahenga nao walizitumia
 
Yaani unakumbushia deni hadi wewe mwenyewe unajiona msumbufu. Mwisho wa siku calls hazipokelewi na texts hazijibiwi. Kazi kweli
Kuna rafiki yangu alidhulumiwa laki mbili na rafiki yake mpaka leo haishi kulalamika japo ana hela zake nzuri tu. Bahati mbaya sasa jamaa aliyemdhulumu pia ni mtu tumeshibana sana. Mpaka nafikiria tu kumlipa huyu aliyedhulumiwa hiyo laki mbili ili apunguze kulalamika yaani kwa sababu kila akiniona na huyu dhulumati raha inaisha kabisa. Madeni yanavunja urafiki na kuharibu heshima!
 
IMG-20210716-WA0011.jpg
 
Hata ukiwa na hela nzuri, still hela uliyomkopesha mtu inauma sana. Wakati mwingine unasitisha kufanya jambo lako, unampe mtu atatue changamoto yake; afu yeye anakuja kukuzingua. Hela huipati na mahusiano yanakufa.

Mwambie alipe deni lake, asijipoteze ufahamu
Kuna rafiki yako alidhulumiwa laki mbili na rafiki yake mpaka leo haishi kulalamika japo ana hela zake nzuri tu. Bahati mbaya sasa jamaa aliyemdhulumu pia ni mtu tumeshibana sana. Mpaka nafikiria tu kumlipa huyu aliyedhulumiwa hiyo laki mbili ili apunguze kulalamika yaani kwa sababu kila akiniona na huyu dhulumati raha inaisha kabisa. Madeni yanavunja urafiki na kuharibu heshima!
 
Aiseee kumbe, kwani hizi simu zilianza mwaka gani?
Nilidhani wahenga nao walizitumiaRa
Mara ya kwanza simu zilianza zikiwa na kampuni ya mobitel mwaka1998. Nakumbuka ofisini kwangu nilienda kufundishwa jinsi ya kutumia hiyo simu. Mobitel ilianza na tv ya DTV Mwaka 1992 au 93. Mimi nilinunua TV mwaka 1994 ila wale waliokuwa wanatoka mtoni walikuwa wanaangalia video siyo tv. Radio tulikuwa na Radio TZ kiswahili na kiingereza na mtangazaji wa english channel alikuwa anaitwa Eda Sanga .
 
Back
Top Bottom