T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 13,088
- 30,480
MmmmmmmmmhNilisikia eti maghorofa ndiyo wanayaita mabugando[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji126][emoji126][emoji126]
MmmmmmmmmhNilisikia eti maghorofa ndiyo wanayaita mabugando[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji126][emoji126][emoji126]
Ndiyo mkuuNdiyo kule kwa wachawiii?
Ila nakumbuka mke wa Barnaba alisema alianza kumchit mumewe miaka mitatu nyuma kabla jamaa amshtukie. Hapa jamaa asidhani huyo mwanamke katulia tu.Hii inaitwa you were warned
Utajua hujui [emoji3][emoji3]View attachment 1822471
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mibangi ya wapi hii
Hahahahahaaha
Kwahiyo maingizo mawili tu yamefotoa 9.. What a super profit!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1822677
Gosiame Thamara Sithole - watoto saba wa kiume na watatu wa kike wakiwa tumboni mwake!
Kabla ya hapo alikuwa ameisha zaa mapacha.
Akiwa na mmewe pembeni.
[emoji16]yaani rafiki[emoji91]... ambaye kama kwenye mpira wewe Messi basi yeye Ronaldo[emoji23]