Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Huu ni msosi wa uhakika japo watoto wa kishua na wanaume wa Dar si ajabu wataushangaa huo ugali. Huu ndio mlo halisi wa mwanaume ambaye ama amefanya kazi au anakwenda kufanya kazi ngumu. Ule huu halafu ukamate kidada cha Dar kilaini laini hivi mbona itakuwa kasheshe?Hapa ukipiga hivi ukikidaka kidada cha Dar kilozoea kupigwa na wala chips akitoka hapo anaenda kuwasimulia baba na mama yako shoo ilivyokua. Dadeki....
Sent using Jamii Forums mobile app








aje??