Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1625344214914.jpg
 
Aaahahahahhhahahahaa looh

Ngoja nirudi kwenye nyuzi zangu nilizoanzisha hapa JF zenye love lyrcs nione nilikulwa mara ngapi....!

Kwani na wewe unapataga wivu ukijua nimekulwa...!.

Sisi ni Siimbaaa.....

Umenikumbusha huu wimbo, mashika mashika mashilongo, hooyeeeee...!.

Shimba iiighhhh...! Ginehee..!

Umehesabu umepata ni mara ngapi kweli ulikuwa umetoka kukulwa?

Nachulale kawivu kanakuwepo ndiyo. Just imagining pisi kali wewe unakuliwa tu na wengine

Mashikolo mageni nkoyi
 
Umehesabu umepata ni mara ngapi kweli ulikuwa umetoka kukulwa?

Nachulale kawivu kanakuwepo ndiyo. Just imagining pisi kali wewe unakuliwa tu na wengine

Mashikolo mageni nkoyi

Hata sijahesabu bhebhee,

Mahaba yangu yanaendaga kwa wasukuma, sichezi mbali na nyumbani...😋😋

Msukuma ananikula getegete nkoyi 😅😅

Kwani na wewe ni Msukuma..!??
 
Nacheka sana yani..huwezi amini mapema sana hawa umbwa wamemiss mbilinge za Magufuli

Hawana raha kabisa wanawashwa tu mikong'oto na zile purukushani za kukamatana,hayo mambo hayapo sasa hivi hawajioni kabisa kama ni wanaharakati anymore,bila kipigo na kukamatwa au kutishwa...I wish Mom atawapuuza tu hawa vilaza
 
Nacheka sana yani..huwezi amini mapema sana hawa umbwa wamemiss mbilinge za Magufuli

Hawana raha kabisa wanawashwa tu mikong'oto na zile purukushani za kukamatana,hayo mambo hayapo sasa hivi hawajioni kabisa kama ni wanaharakati anymore,bila kipigo na kukamatwa au kutishwa...I wish Mom atawapuuza tu hawa vilaza

Ni Watanzania wenzio mkuu na siyo vizuri kuwaita mbwa. Hatujafikia kwenye uhasama wa hivyo. Hii ni nchi yetu sote na inabidi tuvumiliane tu.

Ila uko sahihi. Bila kiki, kukurukakara na mikasa mambo hayaendi hivyo mama watamkorofisha tu mpaka atakosa uvumilivu. Na hicho ndicho wanachokitaka. Huoni tayari wameshambatiza eti ni Magufuli wa kike?

Ila napenda amsha amsha yao kwa sababu mara nyingi huwa angalau inaonyesha mambo yanayoendelea ambayo bila wao huwezi kuyasikia.
 
Hata sijahesabu bhebhee,

Mahaba yangu yanaendaga kwa wasukuma, sichezi mbali na nyumbani...

Msukuma ananikula getegete nkoyi

Kwani na wewe ni Msukuma..!??
Lekaga amamihayo genayo nkoyi Kasie

Nagawīlwa gīkī ūbebe ugachimagwa na basabi guke; na bagosha ba ma cheo matale (bakulugenji). Ūnene nkoyi nalīng'habī

Ila lūshikū lūmo nūnene nagūgūchima guke
 
Back
Top Bottom