Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Hapa ukipiga hivi ukikidaka kidada cha Dar kilozoea kupigwa na wala chips akitoka hapo anaenda kuwasimulia baba na mama yako shoo ilivyokua. Dadeki....Wanyaki hapa ni maparachichi tu ndo yanakosekana. Njooni nayo tupate msosi wa uhakika huku Misungwi Usukumani
View attachment 1839963