Sina hamu kabisa leo dah

hawa jamaa wa yanga wamenikalia kooni!
JF siyo wabunifu. Wamewekeza sana kwenye kupiga watu ban tu mengine haya hawayajuiIla JF miaka yote hiyo hawafiki hata 1M



Hahahaha ndo huko kujitoa akili ili uwe juha ndo akili yenyewe
La sivyo maugomvi hata yasiyokua na msingi. Kuna watu hadi wanaziogopaga nyumba zao. Yaaani akitoka kazini anaanza kuwaza akazurure wapi muda uende ili asiende home
Mmhhh...shida ya kulazwa Muhimbili siitaki mimi

