Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

e33e21e41bc0435b9275173c275d46c7.jpg
 
Kumbe ukiblockiwa ndo inakuwa hivi?

Kwa hiyo K ndo umeniblock au sio!

Malipo ni hapa hapa duniani
Yeah! Unaona kamshale kamoja kuwa message sent basi. Mishale miwili maana yake message delivered na hii hutaiona kama mtu amekublock. Na ili kujiridhisha zaidi ukimpigia kama amekublock hata simu yake haitaita...
 
Back
Top Bottom