Nimeitambua hadhi yao ya kibonde mbobevu.Arsenal wamekukosea nini??![]()
Shukran kwa mwongozo.Yeah! Unaona kamshale kamoja kuwa message sent basi. Mishale miwili maana yake message delivered na hii hutaiona kama mtu amekublock. Na ili kujiridhisha zaidi ukimpigia kama amekublock hata simu yake haitaita...
.Sina hamu kabisa leo dahhawa jamaa wa yanga wamenikalia kooni!
So the holy bible says....😂
Halafu background ya yanga
Hawana rangi hiyoHalafu background ya yanga
Mary's boy child Jesus Christ .....So the holy bible says....😂