Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Yanga wanavimbaje leo, bora hata umeme ukatike tu tulale

Yanga wanavimbaje leo, bora hata umeme ukatike tu tulale

Tena kama ni wewe nitajua tu. Unakuwaga so happy na love poems/lyrics kibao. HoooovyoooAhahahaaa umejuaje....!?![]()



Leo mnalo. Mmakubali kuchunwa ngozi laivu tena mbele ya mama. Shida nini? Mlijiamini kupita kiasi ama?Yanga wanavimbaje leo, bora hata umeme ukatike tu tulale![]()






Wacha nikalale tu mkuuLeo mnalo. Mmakubali kuchunwa ngozi laivu tena mbele ya mama. Shida nini? Mlijiamini kupita kiasi ama?
View attachment 1839235
Au shida ni mama kuwepo uwanjani?
View attachment 1839236

Tena kama ni wewe nitajua tu. Unakuwaga so happy na love poems/lyrics kibao. Hoooovyooo![]()
JF siyo wabunifu. Wamewekeza sana kwenye kupiga watu ban tu mengine haya hawayajui![]()
Goli liwe na mvuto kwani tulikuwa kwenye maonesho


....imeisha iyo.