Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Yanga wanavimbaje leo, bora hata umeme ukatike tu tulale
Leo mnalo. Mmakubali kuchunwa ngozi laivu tena mbele ya mama. Shida nini? Mlijiamini kupita kiasi ama?
IMG-20210703-WA0163.jpg


Au shida ni mama kuwepo uwanjani?
IMG-20210703-WA0168.jpg
 
Tena kama ni wewe nitajua tu. Unakuwaga so happy na love poems/lyrics kibao. Hoooovyooo

Aaahahahahhhahahahaa looh

Ngoja nirudi kwenye nyuzi zangu nilizoanzisha hapa JF zenye love lyrcs nione nilikulwa mara ngapi....!😅😅😅

Kwani na wewe unapataga wivu ukijua nimekulwa...!😜😜😜🤪🤪.

Sisi ni Siimbaaa....😅.

Umenikumbusha huu wimbo, mashika mashika mashilongo, hooyeeeee...!😆😆.

Shimba iiighhhh...! Ginehee..!
 
Back
Top Bottom