Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Uto wanatafuta sababu ya kutokuja
Screenshot_20210703-080731.jpg
 
Hii ni kweli kabisa,ilishawahi kunitokea kipindi ndoa changa,nikamfungia wife chumbani nikazuga kwa sebule km nacheki TV,sauti ya shetani ikaniambia "vipi hujui night club zilipo?"Mimi huyo nimerudi 0730am nipo njwiii.Nikamtoa lockup,toka siku hiyo hajawahi kuzingua tena.Nowdays wakizingua unavaa zako earphone unaingia zako shamba la Jf dakika unakutana na wana kama nyie no stress maisha yanasonga.
Anyway wanawake sio nyanja zote kuishi nao kwa akili wakati mwingine ukiishi nao kiujinga/kijuha unatoboa
Hahahaha ndo huko kujitoa akili ili uwe juha ndo akili yenyewe

La sivyo maugomvi hata yasiyokua na msingi. Kuna watu hadi wanaziogopaga nyumba zao. Yaaani akitoka kazini anaanza kuwaza akazurure wapi muda uende ili asiende home
 
Back
Top Bottom