Kweli kabisa
Yaani kabisa mmeamua kuunganisha nguvu ili kushambulia Wasukuma? Mshindweeee
View attachment 1823799
Wanyaki nakwambia haya ndo maumbo yao. Wamefungasha balaa. Mi nahamia huko tukabanane kwenye maparachichi hivyo hivyo. Na kwa vile napenda kuvaa suti si ajabu hata kanisa nitapewa aisee...Wanyaki hia ai kamu



Walimu yaani tunadharaulika lakini mchango wetu ni mkubwa sana!Huyu mwalimu alipata tuzo kutoka shirika la umoja wa mataifa kwa kujitolea kuwaandikia wanafunzi wake program ya Microsoft office ubaoni huko Ghana.Big Up mwalimu kwa mchango wako.View attachment 1823962
(American) Football legends?