GEMBESON
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,463
- 3,200
Hapo itakuwa mkeka umechanika.Mi nashauri aachane na vijana, aweke Wazee tu
Hapo itakuwa mkeka umechanika.Mi nashauri aachane na vijana, aweke Wazee tu
Kiti🐷🐖Pilauuuu
Wasukuma hatupumziki kwa nini nyie Wapare tuwapumzishe? Ni kampa kampa Hapa Kazi TuMtupumzishee![]()





Shida yetu ni hawa tunaowapa madaraka. Na mifumo yetu mibovu ya elimu. Sasa tumegeukia kwa Wachina. Tunafanyiwa yale yale tuliyofanyiwa na wazungu. Na zaidi...wala hatujufunzi. Miaka nenda miaka rudi. Inaudhi bro!Facts bro. Tulipewa kila kitu, lakini tukawa wazembe yaani. Ndugu zetu wanapiga akili ya kufa mtu hadi wanatuibia ikizidi lakini hatuoni dadeq. Africa hii wallahi, sijui hadi lini.



Unafikiri huyu jamaa ni kabila gani? Mimi nadhani ni Mnyaki baada ya kuuza maparachichi yake
View attachment 1823709
Ungemalizia tu kuwa huyo ni ndugu msukuma![]()



ndugu wasukuma watakuja kwa fujo sana kunishambuliandugu wasukuma watakuja kwa fujo sana kunishambulia
Sahi ni mwendo wa "everyone for him/herself". Ukisema wagojea changes, haha, maybe miracles zikuje sasa.Shida yetu ni hawa tunaowapa madaraka. Na mifumo yetu mibovu ya elimu. Sasa tumegeukia kwa Wachina. Tunafanyiwa yale yale tuliyofanyiwa na wazungu. Na zaidi...wala hatujufunzi. Miaka nenda miaka rudi. Inaudhi bro!
Ajabu sasa. Hata hawa tunaowapa madaraka tukibahatisha mmoja ambaye ni mzalendo akaanza kupambania raslimali zetu, tunaungana na wabaya wetu kumpiga vita na hata kumuua...No hope for us !!!