Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1624092104093.jpg
 
Facts bro. Tulipewa kila kitu, lakini tukawa wazembe yaani. Ndugu zetu wanapiga akili ya kufa mtu hadi wanatuibia ikizidi lakini hatuoni dadeq. Africa hii wallahi, sijui hadi lini.
Shida yetu ni hawa tunaowapa madaraka. Na mifumo yetu mibovu ya elimu. Sasa tumegeukia kwa Wachina. Tunafanyiwa yale yale tuliyofanyiwa na wazungu. Na zaidi...wala hatujufunzi. Miaka nenda miaka rudi. Inaudhi bro!

Ajabu sasa. Hata hawa tunaowapa madaraka tukibahatisha mmoja ambaye ni mzalendo akaanza kupambania raslimali zetu, tunaungana na wabaya wetu kumpiga vita na hata kumuua...No hope for us !!!
 
Shida yetu ni hawa tunaowapa madaraka. Na mifumo yetu mibovu ya elimu. Sasa tumegeukia kwa Wachina. Tunafanyiwa yale yale tuliyofanyiwa na wazungu. Na zaidi...wala hatujufunzi. Miaka nenda miaka rudi. Inaudhi bro!

Ajabu sasa. Hata hawa tunaowapa madaraka tukibahatisha mmoja ambaye ni mzalendo akaanza kupambania raslimali zetu, tunaungana na wabaya wetu kumpiga vita na hata kumuua...No hope for us !!!
Sahi ni mwendo wa "everyone for him/herself". Ukisema wagojea changes, haha, maybe miracles zikuje sasa.
 
Back
Top Bottom