Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

😀😀😀

Screenshot_20210619-100152.png
 
Maisha bhana! shukurani kwa Mungu ukiamka salama...
View attachment 1823499
Scarcity is the mother of all inventions. Dogo ameona ajiongeze. Sawa sawa na astronauts kwenye International Space Station wanao-recycle mkojo na kinyesi ili kupata maji ya kunywa.

Ipo hoja kwamba Afrika hatukuendelea kama wazungu kwa sababu ya kuwa na natural resources kibao. Wanaume wanne mnatoka tu hapo nje mnakwenda mnaua tembo kijiji kizima kinakula nyama hata mwezi mzima, ugundue mashine za nini? Ukiangalia nchi nyingi za Ulaya hawana kitu na ilibidi kupiga akili kweli kweli ili kupambana na mazingira yao. The curse of Africa - abundance of natural resources...na bado inatupa shida mpaka leo.
 
Scarcity is the mother of all inventions. Ipo hoja kwamba Afrika hatukuendelea kama wazungu kwa sababu ya kuwa na natural resources kibao. Wanaume wanne mnatoka tu hapo nje mnakwenda mnaua tembo kijiji kizima kinakula nyama hata mwezi mzima, ugundue mashine za nini? Ukiangalia nchi nyingi za Ulaya hawana kitu na ilibidi kupiga akili kweli kweli ili kupambana na mazingira yao. The curse of Africa - abundance of natural resources...na bado inatupa shida mpaka leo.
Facts bro. Tulipewa kila kitu, lakini tukawa wazembe yaani. Ndugu zetu wanapiga akili ya kufa mtu hadi wanatuibia ikizidi lakini hatuoni dadeq. Africa hii wallahi, sijui hadi lini.
 
Back
Top Bottom