Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Eti Tokyo [emoji15][emoji15][emoji15]
View attachment 1821403
Msukuma ameelimika sasa...
FB_IMG_1623880247607.jpg
 
Hujakosea kamanda:

1. Wasukuma [emoji123][emoji123]

2. Wanyaki [emoji122][emoji122][emoji122]

3. Wapare...[emoji870][emoji870][emoji870]


View attachment 1821398
Kwa kweli huyo Shopkeeper wa Kisukuma ametisha 🙌😂😂, ndiyo maana best zangu Nuzulati , Karma , financial services , Heaven Sent , Saint Anne na Chakorii wamesema wanataka kwenda usukumani kujifunza 😀😀. Nadhani kwenye hiyo trip nitamuomba Noelia asikose kujiunga nao, I'm sure watatuletea best stories kuwahusu 😂🏃🏻🏃🏻🏃🏻
 
Mbu ambao wamefanyiwa mabadiliko ya vinasaba na kuwekwa Viagra wametoroka maabara ya Wuhan hivi karibuni. Mbu hao ambao ikitokea wamekung'ata unaweza kupata hisia na hamasa kubwa ya kufanya mapenzi/ngono/tendo la ndoa kwa muda wa masaa 48 bila kuchoka. Wakazi wa maeneo ya karibu na Wuhan China wengi wao wanaume wamejitokeza nje ya nyumba zao ili kusubiri kung'atwa na mbu hao ikiwa ni jitihada za kupata msisimko huo unaosababisha mashine kusimama na hamu tele kwa muda mrefu. Nasubuiri wafike na huku nione vile wazee wa kazi watakavyo lala nje bila net kusubiri dozi ya mbu viagra. Naona inakuja Viagra pandemic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hua nikiona hizi barua namkumbuka Neema wangu maana aliniandikia barua ya mahaba akaisahau kwenye daftali la hesabu ticha akaiona .......kilicho fuata ni kengele ya msitalini na walimu kunitandika fimbo km mwizi lakini hata leo hii sijui neema wangu yupo wapi so sad[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ulipaswa kumuoa Neema wako, maana kuwekwa mistalini unatangazwa shule nzima, si jambo dogo hilo[emoji23]
 
Back
Top Bottom