Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Nilisikia eti maghorofa ndiyo wanayaita mabugando







Huku kwetu Gamboshi
Sema bageshi. Wanyaki hawa mi watani zangu nawataniaga na ushamba wao...

Jamani mtumishi. By the way nina zawadi yakoNilisikia eti maghorofa ndiyo wanayaita mabugando![]()








Kwa nini maua huyataki mtumishi?Hayo maua kaa nayo tu, mimi nachukua makatapela yangu![]()
Kwa nini maua huyataki mtumishi?
Hiyo hereni kama ringi
Kumbe we ni Mnyaki wa Tukuyu?Sasa mnyaki na maua wapi na wapi, weka maparachichi hapo mezani nijisikie nipo Tukuyu



Naona ni gari la mkuu wa mkoa
La Chalamila labdaNaona ni gari la mkuu wa mkoa

wanyakyusa wa kyela walimuambia mwakyembe "alile papo... " Heaven Sent utanisidia kuwaelezea mwenza rafiki...