Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Duh 











Ni babaake Ajib nini huyu?
Kwa kweli vituko vyenu baada ya kuingia simu janja (smartphone) ni balaa.Hahahaa tuacheni tu wanyaki jamani
Mkuu hatupendi ukorofi ujue😂😂Kwa kweli vituko vyenu baada ya kuingia simu janja (smartphone) ni balaa.
Baada ya vituko vya Wasukuma mnafuata nyie na kwa mbaali nawaona Wapare 😂😂🏃🏻🏃🏻
SHIMBA YA BUYENZE financial services


Kwa kweli vituko vyenu baada ya kuingia simu janja (smartphone) ni balaa.
Baada ya vituko vya Wasukuma mnafuata nyie na kwa mbaali nawaona Wapare
SHIMBA YA BUYENZE financial services
Weee uisiwachukulie poa wasukuma na ushamba wao ooooh


Hua nikiona hizi barua namkumbuka Neema wangu maana aliniandikia barua ya mahaba akaisahau kwenye daftali la hesabu ticha akaiona .......kilicho fuata ni kengele ya msitalini na walimu kunitandika fimbo km mwizi lakini hata leo hii sijui neema wangu yupo wapi so sad


Enzi hizoooView attachment 1820870
Miaka yangu 4 niliyoishi Mbeya niliinjoi sana vituko na vitimbi vyenu vya Kinyaki 😂😂Mkuu hatupendi ukorofi ujue😂😂