Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hizi ni akili zangu 99.9999% kabisa, hii ni bongo yangu mimi walai.
Tuko wengi mkuu. Tena liwe toto jeupe lenye afya na lenzi mbinuko ya ukweli halafu guu guu uwii! Ndo maana huwa natatizika sana na hili fungu . But again, njia ile ni nyembamba iendayo uzimani
Screenshot_20210606-140008_Biblia%20na%20Sauti.jpg
 
"Mimi ni shabiki lia lia wa Coastal union, lakini hawa Yanga nimejitolea sana kuwasaidia kifedha walivyoondokewa na tajiri yao Yusuf Manji, nawashangaa ati leo wananilalamikia eti nawaonea.
Yanga muwage na shukrani"--- Wallace Karia Rais wa TFF.
FB_IMG_1623002529382.jpg
 
Back
Top Bottom